IQNA-Miaka ishirini baada ya mashambulizi ya 7/7 mjini London, Waislamu wa Uingereza bado wanahisi athari za kihisia na kijamii.
Habari ID: 3480910 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/07
IQNA – Mwanamke Muislamu alishambuliwa kwa ukatili mahali pake pa kazi huko Oshawa, Ontario, Canada katika tukio ambalo viongozi wa jamii wanaitaka polisi kulichunguza kama jinai ya chuki.
Habari ID: 3480893 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/04
IQNA – Mamlaka za Ufaransa zimeripoti ongezeko la asilimia 75 la matukio ya chuki dhidi ya Waislamu katika miezi mitano ya kwanza ya mwaka 2025, huku mashambulizi dhidi ya watu binafsi yakiongezeka mara tatu ikilinganishwa na kipindi kama hicho mwaka jana.
Habari ID: 3480892 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/04
IQNA – Kufuatia mashambulizi ya hivi karibuni dhidi ya misikiti nchini Uingereza na Ufaransa, viongozi wa Ulaya wametakiwa kuacha kuchochea chuki dhidi ya Uislamu.
Habari ID: 3480880 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/01
IQNA – Ripoti mpya iliyotolewa Jumatatu imetoa wito kwa serikali ya Uingereza kuweka mkakati wa kitaifa wa pamoja kupambana na kuongezeka kwa cChuki Dhidi ya Uislamu (Islamophobia), ikionya kuwa mgawanyiko unaozidi katika jamii unadhoofisha imani ya wananchi kwa taasisi za umma na kutishia mshikamano wa kitaifa.
Habari ID: 3480819 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/10
IQNA – Jumuiya ya Waislamu Duniani (MWL) imekaribisha uamuzi wa mahakama ya Uingereza kumtia hatiani mtu aliyeteketeza moto nakala ya Qur’ani Tukufu mjini London.
Habari ID: 3480807 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/08
IQNA – Malalamiko ya ukiukaji wa haki za kiraia yamewasilishwa kwa Idara ya Haki za Kiraia ya Jimbo la Michigan nchini Marekani dhidi ya tawi la Domino’s Pizza lililoko Waterford, kufuatia ripoti ya ubaguzi wa kidini na uharibifu wa chakula uliowalenga wanawake wawili Waislamu na watoto wao.
Habari ID: 3480803 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/07
IQNA – Serikali ya Ufaransa imeshutumiwa kwa kulenga shirika la Ulaya linalojitolea kupambana na chuki dhidi ya Uislamu.
Habari ID: 3480767 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/31
IQNA – Chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) ni janga la kimataifa linaloathiri jamii nzima, si Waislamu pekee, alionya Abdulsamad Al-Yazidi, Mwenyekiti wa Kituo cha Kiislamu cha Ujerumani.
Habari ID: 3480753 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/28
IQNA – Mkutano wa kimataifa utakaofanyika Baku mnamo Mei 26–27 utawaleta pamoja wataalamu wa kimataifa ili kujadili changamoto inayoongezeka ya chuki dhidi ya Uislamu yaani Islamophobia.
Habari ID: 3480731 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/24
IQNA – Maelfu ya watu wameandamana katika mitaa ya Paris na miji mingine ya Ufaransa siku ya Jumapili kulaani ongezeko la chuki dhidi ya Uislamu na kumuenzi Aboubakar Cissé, kijana kutoka Mali aliyeuawa akiswali ndani ya msikiti.
Habari ID: 3480675 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/12
IQNA-Mwanaume mmoja wa Kifaransa aliyemdunga kisu na kumuua Mwislamu aliyekuwa akisali katika msikiti ulioko kusini mwa Ufaransa, ameshtakiwa rasmi kwa mauaji ya kukusudia yanayochochewa na chuki ya kidini au kikabila, ofisi ya mwendesha mashtaka wa Nîmes ilitangaza Ijumaa.
Habari ID: 3480667 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/11
IQNA – Umoja wa Mataifa umetangaza kumteua mwanadiplomasia mkongwe wa Hispania, Miguel Angel Moratinos Cuyaubé, kuwa mjumbe maalum atakayeongoza juhudi za kushughulikia chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia), ofisi ya msemaji wa UN ilitangaza Jumatano.
Habari ID: 3480660 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/09
IQNA – Muungano mpana wa makundi ya kisiasa, mashirika ya kiraia, wasomi, watafiti, waandishi na watu mashuhuri umetangaza maandamano ya kimya yatakayofanyika kote Ufaransa Jumapili, Mei 11, kulaani kuongezeka kwa chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia).
Habari ID: 3480659 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/09
IQNA-Ripoti mpya ya Taasisiya India Hate Lab (IHL) imebaini ongezeko kubwa la matukio ya hotuba na kauli za chuki katika maeneo mbalimbali nchini India kufuatia shambulio la kigaidi lililotokea Pahalgam, Jammu na Kashmir, mnamo Aprili 21.
Habari ID: 3480633 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/04
IQNA – Wabunge wa Ufaransa siku ya Jumanne walikusanyika kwa heshima kuu kumkumbuka Muislamu aliyepoteza maisha katika shambulio la kusikitisha ndani ya msikiti uliopo kusini mwa nchi hiyo.
Habari ID: 3480619 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/30
IQNA – Chama kimoja cha misimamo mikali ya mrengo wa kulia nchini Italia, kinachoongozwa na Naibu Waziri Mkuu Matteo Salvini, kinahunguzwa rasmi baada ya wabunge wa upinzani kuwasilisha malalamiko kuwa chama hicho kimesambaza picha zinazozalishwa na Akili Bandia (AI) zinazokuza ubaguzi wa rangi na dhana za Chuki dhidi ya Uislamu au Islamophobia.
Habari ID: 3480561 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/19
IQNA-Umoja wa Ulaya umetangaza azma ya kukabiliana na uhalifu wa chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) katika nchi za Ulaya.
Habari ID: 3480556 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/18
IQNA – Mwanaume mmoja kutoka mji wa Widnes, Uingereza, amekamatwa na kufunguliwa mashtaka kuhusiana na tukio la wizi katika msikiti wa Warrington.
Habari ID: 3480525 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/11
IQNA – Sheikh Ahmed al-Tayeb, imamu mkuu wa Al-Azhar ya Misri, amesisitiza haja ya kuunda hifadhidata za kurekodi uhalifu dhidi ya Waislamu na Uislamu (Islamophobia).
Habari ID: 3480394 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/18